
Wadudu kunguni waliokuwa wamejificha ndani ya viti walitoka mafichoni. Hali ambayo si kawaida. Mmoja wao, mdudu kunguni mmoja mkubwa alitikisa kichwa chake akitembea tembea kwenye viti vya basi. Hakuamini ile hatua umati wa binadamu amechukua ya kukaa nyumbani.
Hata salamu amebadilisha
Akiongea kwa sauti ya juu akasema, ‘ Sijaamini kuwa binadamu anaweza kuishi hivi. Hata salamu amebadilisha.’ Kunguni wengine wengi wakamjibu ,’ Turuke juu ya viti. Pengine binadamu atarudi akiona tukijiburudisha juu ya viti vyao.’ Mwishowe walichoka kwani hakuna umati wa watu ulioonekana ndani ya basi.
Kisha mmoja wao akikunja uso wa hasira, akiwa nje ya mlango wa basi na akaanza kupiga kelele akisema,’Haki yetu. Haki yetu!’. Wale waliokuwa hai wakamuunga kwa kupiga kelele pia. Wengine walingongana na kuanguka chini.
Wakisomewa taarifa na nzi wenzao wakaambiwa,’ Binadamu amejifungia ndani ya nyumba na kukosa kwenda kazini. Isitoshe sasa hatuwezi kuingia ndani ya mdomo wake kwa kuwa ameziba na maski ya barakoa. Hapo awali alikuwa na mazoea ya kuingiza vidole vyake ndani ya pua.’
Hatuwezi kuingia mdomo wake kwa sababu ya maski.
‘Kila kona sasa kuna mtungi wa maji na sabuni wa kusafisha mikono. Hali hii imesababisha upungufu wa vijidudu ambavyo vimekuwa vikitusaidia kusambaza kinyesi.’ , nzi mkubwa akasema.
Binadamu anasema ataangamiza Malaria na maradhi mengine kabisa
Nzi mkubwa
Well done! This is fantastic. Where do you get this crazy stories?.
Umenikumbusha utoto wangu! Kuna mtoto mmoja alinyimwa mkate na kumgeukia rafiki yake ambaye alikuwa tumbili.
Shukran kwa maboresho, nimefurahia leo Sana
Wadudu walifaulu au walifariki?
Sent using Takajua App
Yes… Habari ndio hii!
Kuna aina mbili za hadithi – ukweli na porojo.
Sungura katika hadithi ya Hodari sungura alitiwa ndani ya mkebe na hii ina muundo tofauti kabisa na aina ya hadithi zingine.
Afya yako na vipima joto
Hii ni muhimu kama hadithi ni fupi katika maonyesho ya Netflix
@tekepunda Hello , I am glad to have found this site. I’m curious, how did get your host provider ?
Thank you, madamoseile
Leo napata maradhi ya kucheka. mapafu nimevunja kabisaa
Mtu ni hatari tu kwa mazingira yake katika ile harakati ya kujiendeleza bial kufikiria madhara. Sehemu kama Wuhan, kunaweza kuwa na mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020 na maeneo mengi katika dunia wamekuwa na Bundesliga.
Very funny story..great fly!