Ushauri wa mzee kobe

Mzee kobe aongoza njia

Hata hivyo, kulikuwa na siri kubwa ambayo tumbili walikuwa nayo.

Nzige na ng'ombe

Waliwa wakila

Ng’ombe alimsikiliza kwa makini na kuuliza, “Lakini nitafanyaje? Ghala lina mlango imara, na sijui kufungua.”

Angaza na ngamia

Hadithi ya Angaza, Mwana wa Mfalme

Hali ilikuwa mbaya, jua liliwaka kwa nguvu, na kiu ilimtesa. Wakati wa kukata tamaa, alikutana na ngamia aliyeonekana mwenye huruma.

Mbuni na twiga

Nani kama mimi

Twiga alimkemea mbuni kwa kusema, “Unawezaje kujiita wa kipekee wakati huna miguu mirefu ya kutembea kwa maringo?”

Ndoto ya bata

Ndoto ya bata

Wakati ndege wengine walipanga foleni kuwasilisha maombi yao, bata alikuwa akitazama mezani kwa tamaa. Harufu ya chakula cha kupendeza ilimvutia sana,

Mechi ya ndovu

Mechi ya ndovu

Wanyama walihitaji refa wa haki, asiyeweza kushawishiwa kwa maneno ya uongo wala rushwa ya ndizi.

Kidole,Kisigino, Kisogo na Kiuno

Ng’ombe kufika salama

Hamisi, akitabasamu kwa aibu, akajibu, “Nataka kuvuka mto huu na ng’ombe wangu, lakini kuna kiboko mkubwa ndani ya maji.

Kilio kati ya miiba

Kilio Kati ya Miiba

“Nitafanyaje sasa? Giza limeingia, na siwezi kurudi nyumbani,” alijiwazia huku akijifuta machozi kwa shati lake la kijivu.

Bongosi na ng'ombe

Ng’ombe ajipata ndani ya runinga

Kesho yake, Bongosi alibeba runinga hadi malishoni. Alifunga kwenye mti mkubwa karibu na mahali ng’ombe wake walikuwa wakila nyasi.