Soma Sikiliza Hadithi za kusisimua na kuchangamsha
Siku moja, wakati wa alasiri, watoto walikuwa wakirudi kijijini baada ya kucheza karibu na msitu. Walikuwa wakiimba nyimbo zao za furaha waliposhuhudia tukio la ajabu. Unajua yaliyotendeka? Angalia hapa
Soma Hadithi Wakati Wowote
Sio lazima uwe darasani au kwenye maktaba upate kusoma hadithi. Pata kusoma hadithi hapa kwetu.
Mbuni mjanja ampiga mbweha chenga.
Samaki amtoroka samaki lakini mbele pia kuna adui.
Soma Hadithi
Mamba ni rafiki ya pundamilia? Simba je?
Vitendawili Methali Fahamu
Ukiona sungura tumbili au ndovu pamoja utabaki na maswali mengi. Kupitia simulzi hadithi tuna fungua pazia ya macho kwa lugha ya kusisimua na kufunza pia.
Soma na sisi
Ukiwa nasi hutakosa la kusoma la kufunza. Tusome pamoja na ukiwa pia na wazo moja au mbili umaweza kuchangia.
Tafakari Tabasamu Takajua
Kama msanii hapa nafurahia sana kuchangamsha kupitia hadithi na michoro.
Bwana J
Kazi Kubwa
Si kweli kwamba sipo lakini yale yaliyomo yana mafundisho.
Sifa Kesho
Wapi Neno
Tusome pamoja
Hadithi Methali Vitendawili Semi Tanakali za Sauti Maneno Magumu, Nini Lingine? Tuambie