Sura

Soma Sikiliza Hadithi za kusisimua na kuchangamsha

Siku moja, wakati wa alasiri, watoto walikuwa wakirudi kijijini baada ya kucheza karibu na msitu. Walikuwa wakiimba nyimbo zao za furaha waliposhuhudia tukio la ajabu. Unajua yaliyotendeka? Angalia hapa

Soma Hadithi Wakati Wowote

Sio lazima uwe darasani au kwenye maktaba upate kusoma hadithi. Pata kusoma hadithi hapa kwetu.

mbuni na mbweha
mbuni na mbweha

Mbuni mjanja ampiga mbweha chenga.

Soma Hadithi

samaki hatarini

Samaki amtoroka samaki lakini mbele pia kuna adui.

Soma Hadithi

Pundamilia mtoni
Pundamilia mtoni

Mamba ni rafiki ya pundamilia? Simba je?

Soma Hadithi

Vitendawili Methali Fahamu

Ukiona sungura tumbili au ndovu pamoja utabaki na maswali mengi. Kupitia simulzi hadithi tuna fungua pazia ya macho kwa lugha ya kusisimua na kufunza pia.

mbweha ampeleka kuku

Soma na sisi

Ukiwa nasi hutakosa la kusoma la kufunza. Tusome pamoja na ukiwa pia na wazo moja au mbili umaweza kuchangia.

Tafakari Tabasamu Takajua

Kama msanii hapa nafurahia sana kuchangamsha kupitia hadithi na michoro.

mimi takajua

Bwana J
Kazi Kubwa

Si kweli kwamba sipo lakini yale yaliyomo yana mafundisho.

jogoo awika takajua

Sifa Kesho
Wapi Neno

kitabu 01
kitabu 02
kitabu 03
kitabu 04
kitabu 05
kitabu 06

Tusome pamoja

Hadithi Methali Vitendawili Semi Tanakali za Sauti Maneno Magumu, Nini Lingine? Tuambie