Samaki akilia machozi yabaki baharini

Mzee Kasumba alipokuwa akitazama bahari jioni moja, alitabasamu na kusema, “Samaki wakilia machozi yabaki baharini, lakini sisi tunaweza kuyafuta kwa matendo yetu.”

Wimbo wa Nyangumi wamtoa ndege machozi

Hapo zamani za kale ndege na nyangumi walipendana sana kama chanda na pete. Ndege alipenda vile nyangumi alivyocheza na maji. Alipenda jinsi alivyokuwa akiogelea kwenye maji kwa ujuzi. Nyangumi alipenda sana manyoya meupe ya ndege. Alipenda pia kumtazama akipaa angani. Wote wawili walipenda kula samaki wadogo wadogo. Katika majira ya jioni ndege na nyangumi walikutana … Endelea kusoma Wimbo wa Nyangumi wamtoa ndege machozi