Ngoma ya Mzee Mandevu
Wanadamu na wanyama walijikuta wakicheza pamoja, bila woga wala uadui. Kijiji kilitawaliwa na vicheko, nderemo, na furaha.
Wanadamu na wanyama walijikuta wakicheza pamoja, bila woga wala uadui. Kijiji kilitawaliwa na vicheko, nderemo, na furaha.
Paka wa kwanza, Mweusi, alitokea mji wenye pilikapilika nyingi. Alikuwa ametelekezwa mitaani baada ya mwenyewe kuhamia nchi nyingine.