
NJAA ya nzige
Mzee Kobe hakuwahi kusikia joto kali kama alivyohisi siku hiyo. Kobe alikuwa na wasiwasi kwa vile hakuwa ameoga na alikuwa anatokwa na jasho jingi mwilini. […]
Mzee Kobe hakuwahi kusikia joto kali kama alivyohisi siku hiyo. Kobe alikuwa na wasiwasi kwa vile hakuwa ameoga na alikuwa anatokwa na jasho jingi mwilini. […]
Sungura alijihisi kama mshukiwa na kumweleza mwenzake mzee Kobe, ‘Yule kifaru ananitazama sana.’ ‘Wasiwasi ya nini sungura?’, Kobe akarudisha. ‘Hasemi lile analolitaka. Hacheki na hakuna […]
Yuko na wafuasi wengi ungedhani yeye mhubiri. Kila mahali alikoenda alitangazia wafuasi wake ili wamfuate na wampende. Hakuna aliyetaka kubaki nyuma. Akiwa anakula, akiwa anaogelea […]
Haki zote zimehifadhiwa © 2021 | porojo tupu takajua.com