
MBWEHA ana maneno mazuri kwa kuku
“Ni mimi! Ndio, mimi ninayesiaga ndovu kama mchanga na kula mamba majini kama kitoweo cha asubuhi!” Aliposikia haya maneno mbweha aliwaza, “Nani anaweza kufanya mambo haya?” na akatoroka mahali pale haraka.
“Ni mimi! Ndio, mimi ninayesiaga ndovu kama mchanga na kula mamba majini kama kitoweo cha asubuhi!” Aliposikia haya maneno mbweha aliwaza, “Nani anaweza kufanya mambo haya?” na akatoroka mahali pale haraka.
Haki zote zimehifadhiwa © 2021 | porojo tupu takajua.com