Basi la simama kuona masikio makubwa Mnyama huyo alikuwa ndovu mwenye haiba, akiwa amekuja kuchukua matunda yaliyoanguka barabarani.
Karamu ya Fisi na Kondoo ‘Mmoja wetu alipata majeraha baada ya kukumbatia fisi’, kondoo mwingine akaongeza.
Mbwa mlinda lango Uaminifu na ujasiri vinaweza kuokoa maisha. Marafiki wa kweli ni wale wanaokaa nasi wakati wa hatari, hata ikiwa inamaanisha kuhatarisha maisha yao wenyewe
Hadithi ya Angaza, Mwana wa Mfalme Hali ilikuwa mbaya, jua liliwaka kwa nguvu, na kiu ilimtesa. Wakati wa kukata tamaa, alikutana na ngamia aliyeonekana mwenye huruma.
Mashati na Nguruwe wa Ajabu “Mashati, umepatwa na nini?” mzee Chale alimwuliza huku macho yake yakipanuka kwa mshangao.
Kuku na Wimbo wa Ukombozi Kwa nguvu za umoja, walimtorosha Mbweha kutoka nyumbani kwake hadi ndani ya msitu. Mbweha alijaribu kuomba msamaha,