Tumbili Chui na Papa Tumbili ajipata matatani anapotaka kula ndizi. Chui na papa, wote hawa wawili, wanammezea mate. Tumbili mjanja alifanya vipi apate kuishi?
Bwana Kofia na tunda lake Wateja wote wakasimama kwa mshangao, wakigeuka kumtazama. Bwana Kofia alikuwa amesimama akionesha uma wake uliochomeka ndani ya kipande cha keki,