
tifua

Takajua Mkebekazi
Mimi ni Takajua, msanii na mpishi wa maneno, ninayependa kuumba simulizi zinazochochea fikra na kuamsha hisia.Sasa, nimejitosa katika kusimulia hadithi mtandaoni, shuleni, na katika matukio maalum, nikileta simulizi zenye mafunzo na burudani kwa watoto na watu wazima.
Je,umesoma?
