Karamu ya Fisi na Kondoo ‘Mmoja wetu alipata majeraha baada ya kukumbatia fisi’, kondoo mwingine akaongeza.
Ndoto ya bata Wakati ndege wengine walipanga foleni kuwasilisha maombi yao, bata alikuwa akitazama mezani kwa tamaa. Harufu ya chakula cha kupendeza ilimvutia sana,
Ng’ombe kufika salama Hamisi, akitabasamu kwa aibu, akajibu, “Nataka kuvuka mto huu na ng’ombe wangu, lakini kuna kiboko mkubwa ndani ya maji.
Kilio Kati ya Miiba “Nitafanyaje sasa? Giza limeingia, na siwezi kurudi nyumbani,” alijiwazia huku akijifuta machozi kwa shati lake la kijivu.