Mashua ya paka

Mashua ya paka

Paka wa kwanza, Mweusi, alitokea mji wenye pilikapilika nyingi. Alikuwa ametelekezwa mitaani baada ya mwenyewe kuhamia nchi nyingine.

simba na daktari

Jino la Simba na Daktari Panya

Kwa uangalifu mkubwa, Panya Daktari aliingia kwenye kinywa cha simba na kuanza kukagua jino lililokuwa limevimba.

Mtoto amefurahi

Moyo wa wazazi

Wazazi ni daraja, mto kupitisha,
Kwa upendo wao, kizazi kuimarika,

masikio ya ndovu

Basi la simama kuona masikio makubwa

Mnyama huyo alikuwa ndovu mwenye haiba, akiwa amekuja kuchukua matunda yaliyoanguka barabarani.

Chura mwerevu

Chura mwerevu

Alipofika, aliona wasichana wawili, Hadija na Rukia, wakigombana vikali.

tumbili chui na papa

Tumbili Chui na Papa

Tumbili ajipata matatani anapotaka kula ndizi. Chui na papa, wote hawa wawili, wanammezea mate. Tumbili mjanja alifanya vipi apate kuishi?

Samaki abebwa

Panya atoroka na samaki

Lakini hakujua kuwa chini ya meza, panya mmoja mjanja alikuwa akitazama chakula hicho kwa tamaa kubwa.

Bongolala na fisi

Karamu ya Fisi na Kondoo

‘Mmoja wetu alipata majeraha baada ya kukumbatia fisi’, kondoo mwingine akaongeza.

chui juu ya mti

Mbwa mlinda lango

Uaminifu na ujasiri vinaweza kuokoa maisha. Marafiki wa kweli ni wale wanaokaa nasi wakati wa hatari, hata ikiwa inamaanisha kuhatarisha maisha yao wenyewe