Mengine hapa
Mfalme Mende
natakajua
Lakini bado, kila wanapomwona mende, hasira yao hufufuka, na wanamshambulia bila huruma, wakikumbuka usaliti wa mfalme wao wa zamani.
Asiyekubali kushindwa si mshindani
natakajua
“Tucheze kwa haki,” alisema Kapteni wa Timu Punda.
“Ndiyo, mshindi apatikane kwa juhudi,” akajibu Kapteni wa Timu Tumbili.
Ndovu akapuliza kipenga chake kwa nguvu—fiiiiiiii! Mechi ikaanza.
Chura Mwerevu
natakajua
unajua sauti ya ROBO ROBO?
Jino la Simba na Daktari Panya
namimi
Kwa uangalifu mkubwa, Panya Daktari aliingia kwenye kinywa cha simba na kuanza kukagua jino lililokuwa limevimba.
Safari mbuzi
natakajua
Ardhi ikatetemeka.
Chui akaogopa. Alijua hawezi kushindana na nguvu za Ndovu.
Tunda la ajabu
natakajua
Wale wanyama watatu wakanyamaza kwa muda. Hawakuwa wamefikiria kwamba kiumbe mwingine alikuwa akiishi ndani ya tunda lile.
Mbuni akasema kwa upole, “Samahani, Kiwavi. Hatukujua kuwa hili ni nyumba yako.”
