Mengine hapa
Ngoma ya Mzee Mandevu
Wanadamu na wanyama walijikuta wakicheza pamoja, bila woga wala uadui. Kijiji kilitawaliwa na vicheko, nderemo, na furaha.
Chura Mwerevu
unajua sauti ya ROBO ROBO?
Asiyekubali kushindwa si mshindani
“Tucheze kwa haki,” alisema Kapteni wa Timu Punda.
“Ndiyo, mshindi apatikane kwa juhudi,” akajibu Kapteni wa Timu Tumbili.
Ndovu akapuliza kipenga chake kwa nguvu—fiiiiiiii! Mechi ikaanza.
Tunda la ajabu
Wale wanyama watatu wakanyamaza kwa muda. Hawakuwa wamefikiria kwamba kiumbe mwingine alikuwa akiishi ndani ya tunda lile.
Mbuni akasema kwa upole, “Samahani, Kiwavi. Hatukujua kuwa hili ni nyumba yako.”
Mchungaji jasiri
Ng’ombe, ambao walikuwa wakiangalia kwa woga, sasa walitoa sauti za furaha: “Moooo!” walishukuru kwa ujasiri wa Ziko.
Jino la Simba na Daktari Panya
Kwa uangalifu mkubwa, Panya Daktari aliingia kwenye kinywa cha simba na kuanza kukagua jino lililokuwa limevimba.
