Hadithi
Tunda la ajabu
Wale wanyama watatu wakanyamaza kwa muda. Hawakuwa wamefikiria kwamba kiumbe mwingine alikuwa akiishi ndani ya tunda lile. Mbuni akasema kwa upole, “Samahani, Kiwavi. Hatukujua kuwa hili ni nyumba yako.”
