Mengine hapa
Omondi na Samaki
Lakini hakujua kuwa chini ya meza, panya mmoja mjanja alikuwa akitazama chakula hicho kwa tamaa kubwa.
Ngoma ya Mzee Mandevu
Wanadamu na wanyama walijikuta wakicheza pamoja, bila woga wala uadui. Kijiji kilitawaliwa na vicheko, nderemo, na furaha.
Haraka Haraka haina Baraka
“Mimi sina muda wa kupoteza! Haraka ndiyo maisha!” alisema Bw. Simiti kila mtu alipomwonya.
Asiyekubali kushindwa si mshindani
“Tucheze kwa haki,” alisema Kapteni wa Timu Punda.
“Ndiyo, mshindi apatikane kwa juhudi,” akajibu Kapteni wa Timu Tumbili.
Ndovu akapuliza kipenga chake kwa nguvu—fiiiiiiii! Mechi ikaanza.
Mashua ya paka
Paka wa kwanza, Mweusi, alitokea mji wenye pilikapilika nyingi. Alikuwa ametelekezwa mitaani baada ya mwenyewe kuhamia nchi nyingine.
Moyo mtamu wa Tumbili
Tumbili akaona ujanja. Akapanda juu ya papa, akapunga mkono kwa chui:
“Papa atanivusha kule moyo wangu ulipo, ukishaupata utasherehekea!”
