Mengine hapa
Tunda la ajabu
Wale wanyama watatu wakanyamaza kwa muda. Hawakuwa wamefikiria kwamba kiumbe mwingine alikuwa akiishi ndani ya tunda lile.
Mbuni akasema kwa upole, “Samahani, Kiwavi. Hatukujua kuwa hili ni nyumba yako.”
Aliwa Akila
Kwa mshangao mkubwa wa ng’ombe, nzige hawakuwa wachache. Walikuja kwa wingi kama siafu, wakavamia ghala na kuanza kula mahindi kwa pupa.
Mfalme Mende
Lakini bado, kila wanapomwona mende, hasira yao hufufuka, na wanamshambulia bila huruma, wakikumbuka usaliti wa mfalme wao wa zamani.
Asiyekubali kushindwa si mshindani
“Tucheze kwa haki,” alisema Kapteni wa Timu Punda.
“Ndiyo, mshindi apatikane kwa juhudi,” akajibu Kapteni wa Timu Tumbili.
Ndovu akapuliza kipenga chake kwa nguvu—fiiiiiiii! Mechi ikaanza.
Mamba Tamaa
Lakini… mamba hakuwa na mabawa.
Alianza kuanguka huku akipiga mayowe, mikono ikipiga hewa bure.
“Naanguka! Naanguka!” alipiga kelele.
Ngoma ya Mzee Mandevu
Wanadamu na wanyama walijikuta wakicheza pamoja, bila woga wala uadui. Kijiji kilitawaliwa na vicheko, nderemo, na furaha.
