Mashua ya paka Paka wa kwanza, Mweusi, alitokea mji wenye pilikapilika nyingi. Alikuwa ametelekezwa mitaani baada ya mwenyewe kuhamia nchi nyingine.
Twiga na Msafara wa Magari Dereva mmoja baada ya mwingine alishangaa kuona kivuli kikubwa kikifunika magari yao.