Mashua ya paka

Paka wa kwanza, Mweusi, alitokea mji wenye pilikapilika nyingi. Alikuwa ametelekezwa mitaani baada ya mwenyewe kuhamia nchi nyingine.

Ndoto ya bata

Wakati ndege wengine walipanga foleni kuwasilisha maombi yao, bata alikuwa akitazama mezani kwa tamaa. Harufu ya chakula cha kupendeza ilimvutia sana,

Kilio Kati ya Miiba

“Nitafanyaje sasa? Giza limeingia, na siwezi kurudi nyumbani,” alijiwazia huku akijifuta machozi kwa shati lake la kijivu.