Ukiona mwenzako akinyolewa wewe tia maji

kinyozi kichwa

Palikuwa na jamaa mmoja aitwaye Kanyolewa, mtu wa masihara mengi lakini mwenye kiburi cha kupitiliza. Kila siku alikuwa akimfokea mwenzake Karatasi kwa kutoroka wanyama pori . Isitoshe mzee mmoja akamwambia: “Ukiona mwenzako akinyolewa, wewe tia maji.“ Hata hivyo  Kanyolewa aliamua kwenda mbugani kutafuta nyasi za mifugo wake. Akiwa pale, alikutana na kundi la nyati wakila … Read more