Mashua ya paka Paka wa kwanza, Mweusi, alitokea mji wenye pilikapilika nyingi. Alikuwa ametelekezwa mitaani baada ya mwenyewe kuhamia nchi nyingine.
Basi la simama kuona masikio makubwa Mnyama huyo alikuwa ndovu mwenye haiba, akiwa amekuja kuchukua matunda yaliyoanguka barabarani.
Panya atoroka na samaki Lakini hakujua kuwa chini ya meza, panya mmoja mjanja alikuwa akitazama chakula hicho kwa tamaa kubwa.
Karamu ya Fisi na Kondoo ‘Mmoja wetu alipata majeraha baada ya kukumbatia fisi’, kondoo mwingine akaongeza.