hadithi HadithiTunda la ajabu natakajua Mei 31, 2026 Wale wanyama watatu wakanyamaza kwa muda. Hawakuwa wamefikiria kwamba kiumbe mwingine alikuwa akiishi ndani ya tunda lile. Mbuni akasema kwa upole, “Samahani, Kiwavi. Hatukujua kuwa hili ni nyumba yako.”